Masifu ya Asubuhi
Jumatatu – Ijumaa: Saa 11:45- 12:30 asubuhi
Jumapili
Parokiani
- Misa ya 1: Saa 12:00 – 2:00 asubuhi
- Misa ya 2: Saa 2:05 – 4:00 asubuhi
- Misa ya 3: Saa 4:05 – 6:00 asubuhi
- Misa ya 4 (Kiingereza): Saa 10:00 jioni
Vigangoni na Parokia Teule
- Mt. Antony wa Padua: Misa 3
- Mt. Yohane Mbatizaji: Misa 2
- Vigango vya Basihaya na Boko Magereza: Misa 1 moja kila Jumapili
Misa za katikati ya wiki
Misa ya asubuhi: 12:30 – 1:00 asubuhi
Misa ya Jioni: saa 11:00- 11:30 jioni



